CHANJO YA UKIMWI KUANZA KUTOLEWA
Chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa inafanyiwa utafiti muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya Marekani inatarajiwa kuanza majaribio kwa binadamu leo Jumatano, Agosti 18, 2021. Hatua hii imekuja baada ya kampuni hiyo ambayo inatengeneza chanjo za aina mbili za Ukimwi, kufuzu hatua za awali za kimajaribio na hivyo kuanza kutumika kwa binadamu katika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed